UHALISIA
Katika kuishi kwako tambua kuna watu wamepewa vipawa,karama na vipaji ,Mungu ndie kawa gawia,
Sasa basi ukiwabaini unatakiwa uwa tunze,uwafundishe na kuwaongoza kwa
upendo na hekima ,na wao wafurahi kuongozwa na wewe, ili uje kuvuna
matunda mema baadae, sio kuwakatisha tamaa,kumbuka Mungu amekukutanisha
nao kwa kusudi, unajua mara nyingine...