MCH. KIONGOZI PHILIPO JAMES GUNI.
THAWABU.
THAWABU.
Thawabu ni kitu chochote ambacho mtu anapewa kama sehemu ya utambulisho au sehemu ya uthibitisho wa huduma aliyoitoa.
Ni kitu chochote apewacho mtu kutokana na kazi aliyoifanya.
Filipi 3:13-14.
Mtu anayetoa thawabu ni ishara ya kuonyesha
- Amekuheshimu au kukuthamini.
unaheshimika kwasababu umefanya zaidi ya wengine.
- Unatambulika kwa kile ambacho umefanya.
Ni kitu chochote apewacho mtu kutokana na kazi aliyoifanya.
Filipi 3:13-14.
Mtu anayetoa thawabu ni ishara ya kuonyesha
- Amekuheshimu au kukuthamini.
unaheshimika kwasababu umefanya zaidi ya wengine.
- Unatambulika kwa kile ambacho umefanya.
Amina.
ReplyDelete