MCH KIONGOZI MKOA WA MWANZA : VICTOR MALAMLA.
SOMO: USTAWI WA MWAMINI.
Waraka wa tatu wa Yohana 1:2
Mungu anataka kila mwamini astawi, Ustawi ni utoshelevu wa kila unachohitaji, au ni ile hali yakufanikiwa kibiashara , kiofisi, familia nk.
Ustawi ni ile hali yakuushinda umaskini, maana umaskini ni mateso tuupinge umaskini kwa nguvu zote, msimamizi wa umaskini ni shetani mwenyewe.
Laana ya umaskini ikimwandama mtu kumtoka ni kazi sana, kama roho ya umaskini haijashughulikiwa kwako kufanikiwa ni ndoto hata kama umeokoka. halooo
SOMO: USTAWI WA MWAMINI.
Waraka wa tatu wa Yohana 1:2
Mungu anataka kila mwamini astawi, Ustawi ni utoshelevu wa kila unachohitaji, au ni ile hali yakufanikiwa kibiashara , kiofisi, familia nk.
Ustawi ni ile hali yakuushinda umaskini, maana umaskini ni mateso tuupinge umaskini kwa nguvu zote, msimamizi wa umaskini ni shetani mwenyewe.
Laana ya umaskini ikimwandama mtu kumtoka ni kazi sana, kama roho ya umaskini haijashughulikiwa kwako kufanikiwa ni ndoto hata kama umeokoka. halooo
0 comments:
Post a Comment