Uponyaji na Ukombozi kwa Damu ya Yesu.

Sunday, August 20, 2017

USHUHUDA

Naitwa Noel Athuman
Namshukuru Mungu kupitia semina ya kitume na kinabii nimetendewa mambo mengi kupitia neno la mtumishi wa Mungu aliyesimama mara ya mwisho katika semina alitutangazia kuwa wiki linalofuata baada ya wiki hile ya semina tutapokea zawadi.
 Namshukuru Mungu nimepata zawadi ya mtaji maana ilifika mahali mtaji ulikuwa unaelekea kuisha.

Pia, Namshukuru Mungu kanipa zadi ya shamba na mbegu zake katika hilo shamba na pia kupitia neno hilohilo namshukuru Mungu nimepa kazi tatu kwa wakati mmoja. Pia namshukuru zipo zawadi nyingi nimepata siwezi kusema zote ila namshukuru Mungu katika hayo. 
Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

Facebook

Kuhusu Efatha

EFATHA.
EFATHA
maana yake ni Funguka [MARKO 7:34], Efatha ni huduma iliyo chini ya Mtume na Nabii JOSEPHAT ELIAS MWINGIRA,Huduma ilianzishwa mwaka 1997.

Huduma ya Efatha mkoa wa Ruvuma inaongozwa na Mchungaji kiongozi PHILIPO JAMES GUNI, Katika Mkoa wa Ruvuma Huduma ya Efatha inapatikana Songea eneo la Mkuzo na Wilaya zote za Mkoa wa Ruvuma.
Huduma ya Efatha Ruvuma chini ya Mchungaji kiongozi PHILIPO JAMES GUNI,Tunatoa Huduma ya Uponyaji na Ukombozi kwa damu ya Yesu, Uponyaji na Ukombozi katika Magonjwa,Kipato, Kazi, Mazingira, Utasa, Ugumba, Uchumi ulioyumba, Umaskini, Ndoa, Kuachwa, Kuachika, Kukataliwa na mengine yote yaliyoshindikana, Huduma inatolewa bureee kwa damu ya YESU.
RATIBA ZETU ZA IBADA NI KAMA IFUATAVYO:
1.JUMATATU-IJUMAA –NI USHAURI NA MAOMBEZ, I Muda wote.
2.JUMAMOSI-IBADA YA MAOMBI, kuanzia saa 3:00 asubuhi-saa 6;00 mchana
3.JUMAPILI-IBADA KWA WATU WOTE, kuanzia saa 4:00 asubuhi- saa 8:00 mchana
Tunapatikana SONGEA-MKUZO, Kufika panda magari yaendayo MKUZO/MWENGEMSHINDO yanayopaki stendi kuu ya daladala Songea, shuka kituo kinachoitwa EFATHA uliza kanisa lililopo sio mbali kutoka barabarani.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Archive