Uponyaji na Ukombozi kwa Damu ya Yesu.

Sunday, August 27, 2017

SHUHUDA
Naitwa Avelina Haule

Namshukuru Mungu sana sana, nilikuwa nasumbuliwa na magonjwa mengi mengi kama #kisukari, #presha, na #malaria sugu ambayo kila dawa ilikuwa ikidunda tangu mpaka mwaka 1999, nilikuwa mtu wa kungangania dini kwa kipindi chote huku nikizunguka huku na kule kwa waganga wa kienyeji, hospitali kwenye matambiko lakini sikupata neema ya kupona kwa kipindi chote hicho lakini namshukuru huyu Mungu tangu nimeingia hapa Efatha navuta pumzi nzuri sina ugonjwa tena maana ilifika mahali mpaka napelekwa hospital napumulia mashine na wakati mwingine hata kutembea nilikuwa siwezi lakini namshukuru huyo Mungu mimi sasa ni mzima na nimeachana na dini na kuachana na wenyekiti wa jumuiy
a niliyokuwa nikitumikia kwa muda wa miaka 15. 
Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

Facebook

Kuhusu Efatha

EFATHA.
EFATHA
maana yake ni Funguka [MARKO 7:34], Efatha ni huduma iliyo chini ya Mtume na Nabii JOSEPHAT ELIAS MWINGIRA,Huduma ilianzishwa mwaka 1997.

Huduma ya Efatha mkoa wa Ruvuma inaongozwa na Mchungaji kiongozi PHILIPO JAMES GUNI, Katika Mkoa wa Ruvuma Huduma ya Efatha inapatikana Songea eneo la Mkuzo na Wilaya zote za Mkoa wa Ruvuma.
Huduma ya Efatha Ruvuma chini ya Mchungaji kiongozi PHILIPO JAMES GUNI,Tunatoa Huduma ya Uponyaji na Ukombozi kwa damu ya Yesu, Uponyaji na Ukombozi katika Magonjwa,Kipato, Kazi, Mazingira, Utasa, Ugumba, Uchumi ulioyumba, Umaskini, Ndoa, Kuachwa, Kuachika, Kukataliwa na mengine yote yaliyoshindikana, Huduma inatolewa bureee kwa damu ya YESU.
RATIBA ZETU ZA IBADA NI KAMA IFUATAVYO:
1.JUMATATU-IJUMAA –NI USHAURI NA MAOMBEZ, I Muda wote.
2.JUMAMOSI-IBADA YA MAOMBI, kuanzia saa 3:00 asubuhi-saa 6;00 mchana
3.JUMAPILI-IBADA KWA WATU WOTE, kuanzia saa 4:00 asubuhi- saa 8:00 mchana
Tunapatikana SONGEA-MKUZO, Kufika panda magari yaendayo MKUZO/MWENGEMSHINDO yanayopaki stendi kuu ya daladala Songea, shuka kituo kinachoitwa EFATHA uliza kanisa lililopo sio mbali kutoka barabarani.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Archive