1. Kizuizi kinachohusika na uhuru wako
Umezaliwa ili uweze kufurahia baraka za Mungu na pia uweze kurithi vitu vyote vilivyomo katika ulimwengu huu.
Mwanadam amepungukiwa uwezo na nguvu wa kuweza kumiliki vitu vyote vilivyo katika ulimwengu huu ni lazima mwanadam akubali kulipa gharama ya kukipata alichotarajia au anachotarajia kukipata.
Wote waliookoka hutafutwa sana na shetani, ili kujiweka huru na salama ni lazima usimame imara kupigania haki pamoja na kuulinda muujiza ulioupata, maana unaposhindwa kuulinda muujiza ulioupata shetani atakupokonya au kuuharibu.
Mwanadam amepungukiwa uwezo na nguvu wa kuweza kumiliki vitu vyote vilivyo katika ulimwengu huu ni lazima mwanadam akubali kulipa gharama ya kukipata alichotarajia au anachotarajia kukipata.
Wote waliookoka hutafutwa sana na shetani, ili kujiweka huru na salama ni lazima usimame imara kupigania haki pamoja na kuulinda muujiza ulioupata, maana unaposhindwa kuulinda muujiza ulioupata shetani atakupokonya au kuuharibu.
#ZINGATIA: Unapopata pata muujiza usimnyamazie Mungu, zidi kumsihi Mungu akupe neema ya kuutunza huo muujiza ulio upokea.
Amen....
Amen....
Na Mchungaji Kiongozi Philipo James Guni.
0 comments:
Post a Comment