Uponyaji na Ukombozi kwa Damu ya Yesu.

Sunday, September 3, 2017

Ukiwa katika kusubiria Muujiza wako lazima

1. Majaribu yaambatane nawe. Lazima uelewe wakati unasubiria muujiza wako majaribu ni lazima, usikwepe lazima ujaribiwe/upimwe je unaweza kupewa hicho ambacho unakisubiria.
Ukiwa katika kujaribiwa unapaswa kufanya yafuatayo:
-Kiri hicho ambacho unaamini.
Ayubu 23:10
2. Lazima utapitia mabaya.
Ukiona watu wanakutenga, wanakusema, hali ya msongo wa mawazo, hali ya kukata tamaa ujue upo katika msimu wa kusubiria muuijza wako.
3. Lazima utapitia kukatiswa tamaa.

unatakiwa kufanya nini ukiwa katika kusubiri?
1. Mwamini Mungu toka ndani ya moyo wako kuwa Mungu anaweza kufanya katika hilo unasubiria.

2. Soma neno la Mungu na kulishika.

3. Usiache kumkumbusha Bwana katika kile ambacho Mungu amekuahidi.
Isaya 62:6
Mtumishi wa Mungu Noel Michael Kapinga
Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

Facebook

Kuhusu Efatha

EFATHA.
EFATHA
maana yake ni Funguka [MARKO 7:34], Efatha ni huduma iliyo chini ya Mtume na Nabii JOSEPHAT ELIAS MWINGIRA,Huduma ilianzishwa mwaka 1997.

Huduma ya Efatha mkoa wa Ruvuma inaongozwa na Mchungaji kiongozi PHILIPO JAMES GUNI, Katika Mkoa wa Ruvuma Huduma ya Efatha inapatikana Songea eneo la Mkuzo na Wilaya zote za Mkoa wa Ruvuma.
Huduma ya Efatha Ruvuma chini ya Mchungaji kiongozi PHILIPO JAMES GUNI,Tunatoa Huduma ya Uponyaji na Ukombozi kwa damu ya Yesu, Uponyaji na Ukombozi katika Magonjwa,Kipato, Kazi, Mazingira, Utasa, Ugumba, Uchumi ulioyumba, Umaskini, Ndoa, Kuachwa, Kuachika, Kukataliwa na mengine yote yaliyoshindikana, Huduma inatolewa bureee kwa damu ya YESU.
RATIBA ZETU ZA IBADA NI KAMA IFUATAVYO:
1.JUMATATU-IJUMAA –NI USHAURI NA MAOMBEZ, I Muda wote.
2.JUMAMOSI-IBADA YA MAOMBI, kuanzia saa 3:00 asubuhi-saa 6;00 mchana
3.JUMAPILI-IBADA KWA WATU WOTE, kuanzia saa 4:00 asubuhi- saa 8:00 mchana
Tunapatikana SONGEA-MKUZO, Kufika panda magari yaendayo MKUZO/MWENGEMSHINDO yanayopaki stendi kuu ya daladala Songea, shuka kituo kinachoitwa EFATHA uliza kanisa lililopo sio mbali kutoka barabarani.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Archive