Ukiwa katika kusubiria Muujiza wako lazima
1. Majaribu yaambatane nawe. Lazima uelewe wakati unasubiria muujiza wako majaribu ni lazima, usikwepe lazima ujaribiwe/upimwe je unaweza kupewa hicho ambacho unakisubiria.
Ukiwa katika kujaribiwa unapaswa kufanya yafuatayo:
-Kiri hicho ambacho unaamini.
Ayubu 23:10
2. Lazima utapitia mabaya.
Ukiona watu wanakutenga, wanakusema, hali ya msongo wa mawazo, hali ya kukata tamaa ujue upo katika msimu wa kusubiria muuijza wako.
3. Lazima utapitia kukatiswa tamaa.
unatakiwa kufanya nini ukiwa katika kusubiri?
1. Mwamini Mungu toka ndani ya moyo wako kuwa Mungu anaweza kufanya katika hilo unasubiria.
2. Soma neno la Mungu na kulishika.
3. Usiache kumkumbusha Bwana katika kile ambacho Mungu amekuahidi.
Isaya 62:6
Mtumishi wa Mungu Noel Michael Kapinga
0 comments:
Post a Comment