MSIMU WA KUSUBIRI. (WAITING SEASON).
Hauwezi kusubiri pasipo AHADI
Inaanza ahadi ndio panafuata kusubiri
Kuna msimu wa kupata na kuna msimu wa kusubiri, ukiwa katika kusubiri unahitaji
1. Uwe na tumaini.
2. Lazima uwe na Imani ukikosa Imani utakosa kile ambacho unasubiria, watu wengi wameshindwa kupokea ni kwa sababu ya kukosa Imani.
3. Lazima uwe mwaminifu.
Ukikosa uaminifu katika kusubiri Mungu anakasirika, na kile ambacho unakisubiria kinaondoka.
Kuwa mwaminifu katika muda, mali, fedha, katika hicho ambacho Mungu amekuandalia au amekupa.
4. lazima uwe na nguvu ya Mungu katika kusubiri.(Ayubu 6:11)
Lazima uwe na nguvu katika hicho ambacho unasubiri ili uujue mwisho wa kusubiria kwako sio unasema tu Mungu atafanya.
Wakati wa kusubiria muujiza wako au Baraka zako ndio wakati wa Mungu kukuandaa, tambua katika hicho ambacho unakisubiria kukipata, tambua kuwa Mungu anakuandaa ili uweze kukaa katika hiyo sehemu ambayo unaitarajia, kazi unayotarajia, biashara unayotarjia, kampuni unayotarajia.
Ndio maana bibi harusi anaandaliwa ili aweze kwenda kwenye harusi hawezi kuondoka katika ya kuandaliwa lazima asubiri mpaka fundi amalize ndipo aondoke, ndivyo hivyo hata kwa Mungu wengi wenu Mungu anawaandaa lakini kabla haujakamilishwa unakimbia, kukimbia kwako kunaondoa Baraka ulizoandaliwa.
Inaanza ahadi ndio panafuata kusubiri
Kuna msimu wa kupata na kuna msimu wa kusubiri, ukiwa katika kusubiri unahitaji
1. Uwe na tumaini.
2. Lazima uwe na Imani ukikosa Imani utakosa kile ambacho unasubiria, watu wengi wameshindwa kupokea ni kwa sababu ya kukosa Imani.
3. Lazima uwe mwaminifu.
Ukikosa uaminifu katika kusubiri Mungu anakasirika, na kile ambacho unakisubiria kinaondoka.
Kuwa mwaminifu katika muda, mali, fedha, katika hicho ambacho Mungu amekuandalia au amekupa.
4. lazima uwe na nguvu ya Mungu katika kusubiri.(Ayubu 6:11)
Lazima uwe na nguvu katika hicho ambacho unasubiri ili uujue mwisho wa kusubiria kwako sio unasema tu Mungu atafanya.
Wakati wa kusubiria muujiza wako au Baraka zako ndio wakati wa Mungu kukuandaa, tambua katika hicho ambacho unakisubiria kukipata, tambua kuwa Mungu anakuandaa ili uweze kukaa katika hiyo sehemu ambayo unaitarajia, kazi unayotarajia, biashara unayotarjia, kampuni unayotarajia.
Ndio maana bibi harusi anaandaliwa ili aweze kwenda kwenye harusi hawezi kuondoka katika ya kuandaliwa lazima asubiri mpaka fundi amalize ndipo aondoke, ndivyo hivyo hata kwa Mungu wengi wenu Mungu anawaandaa lakini kabla haujakamilishwa unakimbia, kukimbia kwako kunaondoa Baraka ulizoandaliwa.
0 comments:
Post a Comment