KUTOKA MWENGE.
MCHUNGAJI HELLEN MWINGA.
Marko 11:24 “ Kwa sababu hiyo nawaambia, Yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba mnayapokea, nayo yatakuwa yenu. ”
Chochote unacho omba ukisali, amini kuwa umepokea, unatakiwa umuombe Mungu na si mwanadamu, kuna mambo mengi tunayo tamani kupokea na hatuwezi kwa sababu hatujui nani wa kumuomba, wakati mwingine tumekuwa wepesi kuwaeleza watu shida zetu badala ya kumwambia Mungu. Unapaswa kuwa makini katika maombi yako ili uweze kupokea.
Neno la Mungu linasema ukiwa na imani unauwezo wa kuuambia mlima huu ng’oka na itakuwa hivyo, Mlima ni nini? Ni chochote kinacho kuzuia usipite au usisonge mbele, hivyo ukiwa na imani unauwezo wa kukiambia hicho kinachokuzuia kiondoke na ikawa hivyo
Marko 11:24 “ Kwa sababu hiyo nawaambia, Yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba mnayapokea, nayo yatakuwa yenu. ”
Chochote unacho omba ukisali, amini kuwa umepokea, unatakiwa umuombe Mungu na si mwanadamu, kuna mambo mengi tunayo tamani kupokea na hatuwezi kwa sababu hatujui nani wa kumuomba, wakati mwingine tumekuwa wepesi kuwaeleza watu shida zetu badala ya kumwambia Mungu. Unapaswa kuwa makini katika maombi yako ili uweze kupokea.
Neno la Mungu linasema ukiwa na imani unauwezo wa kuuambia mlima huu ng’oka na itakuwa hivyo, Mlima ni nini? Ni chochote kinacho kuzuia usipite au usisonge mbele, hivyo ukiwa na imani unauwezo wa kukiambia hicho kinachokuzuia kiondoke na ikawa hivyo
0 comments:
Post a Comment