Uponyaji na Ukombozi kwa Damu ya Yesu.

Thursday, August 31, 2017

SOMO: NEEMA YA BWANA YESU.

NEEMA ni ya Bwana YESU, UPENDO ni wa Mungu BABA na USHIRIKA ni wa ROHO MTAKATIFU. NEEMA ni Nini? Neema ni kitu ambacho mtu Anaweza kukipata pasipo kustahili. Tumeokolewa kwa Neema, sisi tulikuwa ni wenye dhambi na wala hatukustahili kuokolewa, lakini kwa Neema ya Bwana YESU...
Share:

NEEMA

Kazi ya Neema ni kuondoa HUZUNI na MACHUNGU, usione mtu ana HUZUNI au MACHUNGU ukajua kuwa hana UPENDO, La! Anao lakini kuna kitu kimekosekana kwake ambacho ni NEEMA; akipata NEEMA changamko linatokea katika Maisha yake. • NEEMA ikikosekana kwako maswali yanakuwa mengi...
Share:

UHALISIA.

UHALISIA Katika kuishi kwako tambua kuna watu wamepewa vipawa,karama na vipaji ,Mungu ndie kawa gawia, Sasa basi ukiwabaini unatakiwa uwa tunze,uwafundishe na kuwaongoza kwa upendo na hekima ,na wao wafurahi kuongozwa na wewe, ili uje kuvuna matunda mema baadae, sio kuwakatisha tamaa,kumbuka Mungu amekukutanisha nao kwa kusudi, unajua mara nyingine...
Share:

Sunday, August 27, 2017

SHUHUDA Naitwa Avelina Haule Namshukuru Mungu sana sana, nilikuwa nasumbuliwa na magonjwa mengi mengi kama #kisukari, #presha, na #malaria sugu ambayo kila dawa ilikuwa ikidunda tangu mpaka mwaka 1999, nilikuwa mtu wa kungangania dini kwa kipindi chote huku nikizunguka huku...
Share:

Sunday, August 20, 2017

Sunday Service.

Sunday Service.Walokole wengi wavivu kupokea,huwezi kupata mafanikio kwa njia ya kufunga na kuomba. Hautakaa ufanikiwe katika hicho ambacho ulipewa upokee kwa kuwekewa mikono na wapakwa mafuta wa Bwana isipokuwa kwa kukichochea hicho kipawa.Neema ya Mungu ni kwaajili...
Share:

USHUHUDA

Naitwa Noel Athuman Namshukuru Mungu kupitia semina ya kitume na kinabii nimetendewa mambo mengi kupitia neno la mtumishi wa Mungu aliyesimama mara ya mwisho katika semina alitutangazia kuwa wiki linalofuata baada ya wiki hile ya semina tutapokea zawadi.  Namshukuru...
Share:

Sunday, August 13, 2017

SENIOR PASTOR PHILIPO JAMES GUNI  REWARD. Reward is anything that people gives as part of identification or part of testifying on what he/she has minister.It’s to give something to someone due to what he/she has done.Philippian 3:13-14If there is a person who is giving...
Share:

Sunday Service.

MCH. KIONGOZI PHILIPO JAMES GUNI.THAWABU. Thawabu ni kitu chochote ambacho mtu anapewa kama sehemu ya utambulisho au sehemu ya uthibitisho wa huduma aliyoitoa. Ni kitu chochote apewacho mtu kutokana na kazi aliyoifanya.Filipi 3:13-14.Mtu anayetoa thawabu ni ishara ya kuonyesha-...
Share:

Friday, August 11, 2017

SOMO: USTAWI WA MWAMINI.

  MCH KIONGOZI MKOA WA MWANZA : VICTOR MALAMLA.SOMO: USTAWI WA MWAMINI.Waraka wa tatu wa Yohana 1:2 Mungu anataka kila mwamini astawi, Ustawi ni utoshelevu wa kila unachohitaji, au ni ile hali yakufanikiwa kibiashara , kiofisi, familia nk.Ustawi ni...
Share:

Sunday service

Huwezi kustawi kama sio mwaminifu katika matakatifu ya Mungu. Matakatifu ya Mungu ni yapi? ✅Muda wote uliotengwa kwaajili ya Mungu. ✅Matoleo yako kwa Mungu. ✅Ahadi zako kwa Mungu. ...
Share:

Facebook

Kuhusu Efatha

EFATHA.
EFATHA
maana yake ni Funguka [MARKO 7:34], Efatha ni huduma iliyo chini ya Mtume na Nabii JOSEPHAT ELIAS MWINGIRA,Huduma ilianzishwa mwaka 1997.

Huduma ya Efatha mkoa wa Ruvuma inaongozwa na Mchungaji kiongozi PHILIPO JAMES GUNI, Katika Mkoa wa Ruvuma Huduma ya Efatha inapatikana Songea eneo la Mkuzo na Wilaya zote za Mkoa wa Ruvuma.
Huduma ya Efatha Ruvuma chini ya Mchungaji kiongozi PHILIPO JAMES GUNI,Tunatoa Huduma ya Uponyaji na Ukombozi kwa damu ya Yesu, Uponyaji na Ukombozi katika Magonjwa,Kipato, Kazi, Mazingira, Utasa, Ugumba, Uchumi ulioyumba, Umaskini, Ndoa, Kuachwa, Kuachika, Kukataliwa na mengine yote yaliyoshindikana, Huduma inatolewa bureee kwa damu ya YESU.
RATIBA ZETU ZA IBADA NI KAMA IFUATAVYO:
1.JUMATATU-IJUMAA –NI USHAURI NA MAOMBEZ, I Muda wote.
2.JUMAMOSI-IBADA YA MAOMBI, kuanzia saa 3:00 asubuhi-saa 6;00 mchana
3.JUMAPILI-IBADA KWA WATU WOTE, kuanzia saa 4:00 asubuhi- saa 8:00 mchana
Tunapatikana SONGEA-MKUZO, Kufika panda magari yaendayo MKUZO/MWENGEMSHINDO yanayopaki stendi kuu ya daladala Songea, shuka kituo kinachoitwa EFATHA uliza kanisa lililopo sio mbali kutoka barabarani.

Contact Form

Name

Email *

Message *

Archive